Thursday, November 24, 2011

INABIDI TUKIMBIE WAKATI WENGINE WAKITEMBEA....

Lakini pia ni lazima tukumbuke kwamba wakimbiao huchoka mapema kuliko watembeao, na kama ni mbio za masafa marefu na wakimbiaji hawa wakawa hawajajiandaa na kuchunguzwa afya zao vizuri ipo hatari ya kupata mshtuko wa moyo na kufikwa na umauti wa ghafla. Ati kama ni lazima tupige mbio, sisi tumejiandaaje? Tunajua tuendako? Basi tusije tukakurupuka na kuanza kupiga mbio kama wendawazimu!

No comments:

Post a Comment