Thursday, April 19, 2012

WATENGWA TO FRANCE TOUR

Group ya wakali wa Hip Hop kutoka Arusha
"Watengwa" wanatarajiwa kwenda Ufaransa
kwenye Tamasha linalofahamika kama
 “Festiv’ Al Arrach” litakalo husisha wasanii
 kutoka sehemu mbali mbali duniani ikiwemo
 familia ya Watengwa from Arusha wao kama
 wahusika wakuu, Ni Tamasha ambalo linalenga
kupromote utamaduni wa Afrika mashariki.
Taasisi iliyoandaa tamasha hilo inaitwa UUKSA,
Tamasha hilo litafanyika mwezi mzima, Watengwa
 watakua na studio sessions, Radio Interviews pamoja
na kutengeneza Documentary na kurekodi album ya
 Full Ile Laana Vol.2.