Tuesday, November 22, 2011

MUIGIZAJI WA NIGERIA, AKI KUFUNGA NDOA DECEMBER MWAKA HUU

......MR & MRS TO BE.......

Msanii mchekeshaji kutoka Nigeria anatarajiwa kufunga ndoa na Sweetheart wake Nneoma Nwaijah,ambaye amehitimu Enugu State University of Technology,tarehe 10 mwezi december mwaka huu, ndoa ambayo itatanguliwa na ndoa ya kimila mwezi November.

MBUNGE WA MBEYA MJINI JOSEPH MBILINYI AKA MR. SUGU AZUNGUMZA NA WANAHABARI

Waziri kivuli wa Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo (kulia) Joseph Mbilinyi a.k.a Mr, SUGU akionyesha kitabu ambacho ameelezea maisha yake kitakachopatikana wakati wa Shoo ijulikanayo Anti Virus katika Tamasha la Burudani kwa washabiki2011 litaakalofanyika Nov. 26,2011 jijini Dar es Salaam na kuhudhuriwa na viongozi mbalimbali pamoja na wadau wa michezo, (kushoto) ni Msanii Fred Malaki a.k.a. MKOLONI. ( _Picha na Mwanakombo Jumaa- MAELEZO,)

Waziri kivuli wa Wizara ya Habari,Vijana ,Utamaduni na Michezo Joseph Mbilinyi (a.k.a. MR. SUGU -alievalia kadeti) leo akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam 21-nov-2011 kuhusu shoo ijulikanyo Anti Virus wakati wa Tamasha la Burudani kwa washabiki 2011-i litalaofanyika jijini DSM hapo Nov. 26 na kuhudhuriwa na viongozi mbalimbali pamoja na wananchi,(kushoto) ni Msanii Fred Malaki (a,k,a- MKOLONI) n a Mwanadada Zainab Lipangile a.k.a ZAY –B, Katika tamasha hilo Wasanii mbalimbali watatumbuiza, -Picha zote na Mwanakombo Jumaa-MAELEZO,

Msanii Suma g akiimba mbele ya wana habari katika mkutano uliofanyika kwenye ukumbi wa Idara ya Habari Maelezo jijini Dar es salaam jana.