Saturday, May 5, 2012

RAIS KIKWETE ATANGAZA BARAZA JIPYA LA MAWAZIRI



Rais Jakaya Kikwete hivi punde ametangaza Baraza jipya la Mawaziri likiwa na sura mpya wakati baadhi ya Mawaziri wakibaki katika nafasi zao. Ifuatayo ni orodha ya Mawaziri hao walioteuliwa pamoja na Manaibu Waziri.
 Kikwete akiongea na wanahabari wakati wa kutangaza Baraza la Mawaziri leo Aprili 4, 2012.Rais Jakaya Kikwete hivi punde ametangaza Baraza jipya la Mawaziri likiwa na sura mpya wakati baadhi ya Mawaziri wakibaki katika nafasi zao. Ifuatayo ni orodha ya Mawaziri hao walioteuliwa pamoja na Manaibu Waziri.