Tuesday, October 25, 2011

WATU 14 WAJERUHIWA KATIKA SHAMBULIO NAIROBI

Watu wa Usalama wakikagua ndani ya klabu hiyo.


Damu ikiwa imetapakaa katika klabu hiyo

WATU wapatao 14 wamejeruhiwa katika shambulio la guruneti  lililotokea jana majira ya saa 7 usiku katika klabu ya Mwaura iliyopo mjini Nairobi, nchini Kenya.  Imeripotiwa kuwa guruneti hilo lilirushwa na mtu asiyejulikana. Mtu huyo alifika kwenye eneo hilo la burudani na mlango ulipofunguliwa alirusha guruneti na kutokomea. "Jamaa mmoja aligonga mlango akijifanya kama mteja na aliporuhusiwa kuingia ndani, akarusha guruneti"  alisema mkuu wa polisi mjini Nairobi, Bw. Anthony Kibuchi. Wengi wa majeruhi wa tukio hilo walikuwa na majeraha katika sehemu za mikono na miguu na walikimbizwa katika hospitali kuu ya taifa ya Kenyatta. Shambulio hili linatokea wiki moja baada ya vikosi vya Kenya kuingia nchini Somalia kukabiliana na wapiganaji wa al-Shabaab, ambao Kenya inawashutumu kwa mashambulio na utekaji nyara wa watalii. Al-Shabaab walitishia kufanya mashambulio kutokana na hatua hiyo ya Kenya.

AMAZING FACTS ABOUT GADDAFI


Muammar Abu Minyar al-Gaddafi.

1. There is *no electricity bill* in Libya; electricity is free for all its citizens.
2. There is *no interest on loans*, banks in Libya are state-owned and loans given to all its citizens at 0% interest by law.
3. *Home* considered a human right in Libya – Gaddafi vowed that his parents would not get a house until everyone in Libya had a home. Gaddafi’s father has died while him, his wife and his mother are still living in a tent.
4. All newlyweds in Libya receive *$60,000 Dinar* (US$50,000) by the government to buy their first apartment so to help start up the family.
5. Education and medical treatments are free in Libya. Before Gaddafi only 25% of Libyans are literate. Today the figure is 83%.
6. Should Libyans want to take up *farming* career, they would receive farming land, a farming house, equipments, seeds and livestock to kick-start their farms – all for free.
7. If Libyans cannot find the education or medical facilities they need in Libya, the government funds them to *go abroad* for it – not only free but they get US$2,300/mth accommodation and car allowance.
8. In Libyan, if a Libyan buys a *car*, the government subsidized 50% of the price.
9. The price of *petrol* in Libya is $0.14 per liter.
10. Libya has *no external debt* and its reserves amount to $150 billion – now frozen globally.
11. If a Libyan is unable to get *employment* after graduation the state would pay the average salary of the profession as if he or she is employed until employment is found.
12. A portion of Libyan *oil sale* is, credited directly to the bank accounts of all Libyan citizens.
13. A mother who *gave birth* to a child receive US$5,000
14. 40 loaves of *bread* in Libya costs $ 0.15
15. 25% of Libyans have a *university degree*
16. Gaddafi carried out the world’s largest *irrigation* project, known as the Great Man-Made River project, to make water readily available throughout the desert country.
Which other dictator has done much good to his people besides.
*P.S.  If this is the dictator Gaddafi is, then give us one like him here in Bolehland.