Wednesday, October 19, 2011

NAKO 2 NAKO FT FUNDI SAMWELI - SWEETY SIXTEEN



KWELI WACHINA NI NOUMER.....!
Charger ya simu yenye uwezo wa kucharge
simu kumi tofauti tofauti kwa wakati mmoja.

HAJI RAMADHANI NDIYE MSHINDI WA BSS 2011, ANYAKUA MILIONI 40


Mshindi wa shindano la Bongo Star Search Second Chance 2011, Haji Ramadhani (katikati), akipunga mkono kwa mashabiki zake mara baada ya kutangazwa mshindi kwenye kinyang'anyiro hicho (kushoto), ni Mratibu wa mashindano hayo Rita Paulsen 'Madame Rita' akiwa katika pozi mara baada ya kumtangaza mshindi huyo, kulia ni mwakilishi kutoka Tigo ambao walikuwa wadhamini wakuu wa shindano hilo.
Majaji wa shindano hilo Master J na Madam Ritha wakifurahi.

CABO SNOOP NDANI YA LEADERS CLUB
Cabo Snoop akiwa na dance wake
Lina naye kama kawaida akiwakilisha
pia raia walikuwepo wa kutosha.