Monday, November 7, 2011

REDD'S UNI FASHION BASH AT MOSHI......

Washindi wa shindano la Redd's Uni Fashion Bash mkoa wa Kilimanjaro wakiwa katika picha ya pamoja mara baada ya kutangazwa washindi. Na kuhudhuriwa na mamia ya wanafunzi wa vyuo vya elimu ya juu mkoani humo.

Baadhi ya washiriki wa shindano hilo wamejipanga jukwaani......!

Moja kati ya burudani zilizotolewa ni kundi la sarakasi na kuwa kivutio kikubwa pamoja na mkali wa Hip Hop Joh Makini.

Baadhi ya wanafunzi wa vyuo mbali mbali vya mkoani Kilimanjaro 
wakiendelea kutazama shindano la Redd's Uni Fashion Bash.
Tamasha hilo lilifanyika kwenye ukumbi wa Glaciers - Shanty 
Town mjini Moshi hivi majuzi.