Wednesday, May 23, 2012

WABUNGE WATARAJIA KUTOA NYIMBO


Zitto Kabwe

 Vicky Kamata


 January Makamba


Halima Mdee

Zitto Kabwe, Halima Mdee, January Makamba, Vicky Kamata na Esther Buraya wanatarajia kutoa nyimbo.
Wabunge hao ndio vijana wanaotutetea kama walivyotajwa hapo juu wako studio tayari kwa kuachia ngoma ambayo nahisi itakuja kubamba vilivyo. Ndani ya ngoma hiyo ambayo zitasikika sauti za wabunge hao tu kutakuwa na ujumbe wa kuhamasisha vijana na maisha ya sasa na pia kuwapa changamoto ambazo zitaweza kuwasaidia kupambana na maisha yanayoendelea duniani.