Thursday, June 7, 2012

CHILAX WITH MATES

TAWI LA CHADEMA WASHINGTON DC

Mwenyeketi wa tawi la Tawi la Chama Cha Demokrasia CHADEMA Washington DC Mhe. Kalley Pandukizi, pamoja na katibu wake  Mhe. Libe Mwang'ombe akimkabidhi rasmi mwanachama  ambaye ni mwana mitindo Linda  Bezuidenhout (LB) katika ofisi ya  tawi la Chadema Washington DC.

Mwenyeketi wa tawi la Tawi la Chama Cha Demokrasia CHADEMA Washington DC Mhe.  Kalley pamoja na katibu wake  Mhe. Libe Mwang'ombe wakipata picha ya pamoja na Linda  Bezuidenhout Atlanta, Georgia na wanachama wa tawi la chadema Washington DC

Viongozi wa tawi la chadema Washington DC wakipata Champagne