Tuesday, November 22, 2011

MUIGIZAJI WA NIGERIA, AKI KUFUNGA NDOA DECEMBER MWAKA HUU

......MR & MRS TO BE.......

Msanii mchekeshaji kutoka Nigeria anatarajiwa kufunga ndoa na Sweetheart wake Nneoma Nwaijah,ambaye amehitimu Enugu State University of Technology,tarehe 10 mwezi december mwaka huu, ndoa ambayo itatanguliwa na ndoa ya kimila mwezi November.

No comments:

Post a Comment