Wednesday, March 6, 2013

WIZI MPYA WA MITANDAONI (COMPUTER)


WIZI MPYA WA MITANDAONI
Haswaaaaa kwa wale wapendao kwenda internet cafe . . .
Yaani ukiingia internet cafe halafu nyuma ya computer ukakuta kuna ka-PIN keusi kamewekwa kwenye kebo ya kuchomekea Keyboard au Mouse ya computer, basi USITHUBUTU KAMWE kutumia hiyo PC. Narudia . . . . USITHUBUTU!!
Hako kadude keusi ni kama ka-memory fulani hivi ambako kanaweza ku-save data zote utakazotumia wakati unafungua mtandao au internet, mfano passwords za emails, facebook, na hata data zote za banking utakazofanya mtandaoni.
MSIJE KUSEMA HAMKUJUA .
Share kwa wenzako ili nao wajue . . . .