Friday, November 25, 2011

WANA WA A-TOWN, R CHUGGA

United   Streets of  Olmatejoo

Brand New Hip Hop Management are artist and their coming soon from the one streets of Matejoo R chugga this time to bring our hood Front Jah Bless the Streets hope. Also dont miss the T-shirts are coming soon.

HAYA WAPIGA CHABO DARASANI MMPOOOO?

Walimu wa shule moja barani Africa waliamua kuja na mbinu ya kuwadhibiti wanafunzi wasiopenda kujishughulisha na kutegemea kupiga chabo a.k.a kuigilizia darasani wakati wa mitihani.

EMBU TAZAMA MAJALALA YA WENZETU YALIYVO

Haya ni mazingira ya Jalalani pasafi hivi, wenzetu kweli wanajipenda na wanapenda mazingira yao pia' sio kama sisi wabongo tunatupatupa tu na kutokujali mazingira yetu. Bongo hapa watu wameshajichukulia Mafriji hapa.