Sunday, May 6, 2012

FLOYD MAYWEATHER AMPIGA MIGUEL COTTO


FLOYD 'MONEY' MAYWEATHER ampiga MIGUEL COTTO kwa points..also takes Cotto's WBA Super Welterweight title, and remains undefeated at 43-0-0 record.

SIMBA SC YACHUKUA UBINGWA KWA KISHINDO' YAMPIGA YANGA 5-0

Waziri wa Habazri, Vijana, Utamaduni na Michezo Dk Fenela Mkangara akimkabidhi kombe nahodha wa timu ya Simba Juma Kaseja Juma kwenye uwanja wa Taifa jijini Dar salaam katika mchezo uliokuwa ni wa  kumaliza michuano ya Ligi Kuu ya Vodacom uliomalizika jioni hii  kwenye uwanja wa Taifa, huku ikiwa tayari ni mabingwa wapya wa ligi hiyo.
Kikosi cha Simba Football Club

Simba imefanikiwa kutunza heshima yake baada ya kuifunga Yanga magoli 5 kupitia wachezaji wake Emmanuel Okwi, goli la kwanza.nGoli la pili la Simba likafungwa na mchezaji Felix Sunzu kwa njia ya penati na dakika chache baadae Emmanuel Okwi akaongeza goli la tatu , Juma Kaseja akaongeza goli la nne kwa penati wakati pia Patrick Mafisango akafunga hesabu kwa kufunga  goli la tano baada ya wachezaji wa Yanga kufanya makosa katika eneo la hatari. 

CHELSEA YATWAA KOMBE LA FA