Saturday, June 15, 2013

HALI ILIVYO ARUSHA MAENEO YA SOWETO BAADA YA MLIPUKO WA BOMU

Hivi ndio hali ilivyo usiku huu maeneo ya Soweto Arusha baada ya bomu kulipuka katika mkutano wa Chadema uliokuwa ukimalizika saa 12 jioni katika viwanja vya Soweto jijini Arusha.

No comments:

Post a Comment