Friday, May 31, 2013

MADHARA YA KUPAKATA LAPTOP MUDA MREFU JUU YA MAPAJA

Haishauriwi kutumia laptop muda mrefu huku ukiwa umeipakata juu
ya mapaja yako. Ni vibaya kwa sababu chini ya laptop kuna kama
venti zinazotoa joto, joto lote la processor/cpu hupumulia kwa chini
na kwa pembeni. So unapotumia computer muda mrefu huku ukiwa
umeipakata utaathirika na lile joto litakalo kutana na ngozi, so unaweza
pata madhara ya ngozi, au ikakusababishia hata cancer ya ngozi! Gt it....!

1 comment: