Friday, November 30, 2012

DRE NDIE MSANII ANAYELIPWA GHALI DUNIANI 2012

Rapper na Mtayarishaji wa Mziki `Dr Dre' ametajwa na jarida la Forbes kama Mwanamuziki aliye lipwa zaidi duniani mwaka 2012. Pesa zake zimepatikana kupitia Head Phones na Ear Phones za Beats By Dre na Mikataba tofauti na wasanii kama Eminem,50 Cent na The Game. Mwaka jana Dr Dre alipunguza wasanii kadha kwenye label yake kwa sababu ya upungufu wa mauzo yao.

1. Dr Dre – $110 Million
2. Roger Waters – $88 Million
3. Elton John – $80 Million
4. U2 – $78 Million
5. Take That – $69 Million
6. Bon Jovi – $60 Million
7. Britney Spears – $58 Million


8. Paul McCartney – $57 Million (tie)
9. Taylor Swift – $57 Million (tie)
10. Justin Bieber – $55 Million (tie)
11. Toby Keith – $55 Million (tie)
12. Rihanna – $53 Million
13. Lady GaGa – $52 Million
14. Foo Fighters – $47 Million
15. Diddy – $45 Million (tie)
16. Katy Perry – $45 Million (tie)
17. Kenny Chesney – $44 Million
18. BeyoncĂ© – $40 Million
19. Red Hot Chili Peppers – $39 Million
20. Jay-Z – $38 Million

No comments:

Post a Comment