Monday, May 28, 2012

SAVING UNDERGROUND ARTIST S.U.A


Freestyle Battle ikachukua nafasi pande za Kijenge, Arusha Tanzania.
Mwanzilishi wa S.U.A Daz Nalegde ambaye pia ni producer wa Watengwa alizindua Shoo.
Ma mc's walikuwa wa kutosha kina Jaco b, Ghosti b, Donnii, Sight Mo na wengine kibao......!

1 comment: