Thursday, April 12, 2012

SAFARI YA MWISHO YA STEVEN KANUMBA

Maazishi ya msanii wa filamu, aliyebeba mapenzi makubwa ya Watanzania, Waafrika na dunia kwa jumla, Steven Charles Kanumba aliyefikwa na umauti ghafla usiku wa Aprili 6, 2012, na kuzikwa tarehe 10/04/2012 katika Makaburi ya Kinondoni, Wilaya ya Kinondoni, Dar es Salaam.Kifo chake kilisababishwa kutokana na kusukumwa na mpenzi wake msanii mwenzake Elizabeth Michael maarufu kama LuLu, na kusababisha kugonga sehemu ya kichwa na kufanya mtingishiko wa ubongo unaojulikana kitaalam kama BRAIN CONCUSSION.
we will always remember you bro!
REST IN FREEDOM

No comments:

Post a Comment