Friday, November 25, 2011

HAYA WAPIGA CHABO DARASANI MMPOOOO?

Walimu wa shule moja barani Africa waliamua kuja na mbinu ya kuwadhibiti wanafunzi wasiopenda kujishughulisha na kutegemea kupiga chabo a.k.a kuigilizia darasani wakati wa mitihani.

1 comment: